iqna

IQNA

al masjid an nabawi
Al-Masjid An-Nabawī
IQNA - Mamlaka za Saudia zimeripoti kuwa zaidi ya waumini milioni 5.9 walitembelea Msikiti wa Mtume (Al-Masjid An-Nabawī) wiki iliyopita.
Habari ID: 3478735    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/26

Umrah na Ramadhani
IQNA - Katika nusu ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, karibu Waislamu milioni 15 walikwenda kwenye Msikiti wa Mtume SAW yaani Al-Masjid an-Nabawi huko Madina, eneo la pili takatifu katika Uislamu, kulingana na afisa wa Saudia.
Habari ID: 3478601    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/29

Al-Masjid an-Nabawi
IQNA – Msikiti wa Mtume (SAW) Al-Masjid an-Nabawi katika mji wa Madina nchini Saudia ulishuhudia Waislamu wengi wakitiririka katika siku za kwanza za mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu, huku zaidi ya waumini milioni 5.2, wakiwemo wanaoshiriki Hija ndogo ya Umrah wakiingia katika msikiti huo kwa ajili ya Sala za kila siku.
Habari ID: 3478532    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/17

Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Mazulia katika Al-Rawdah Al-Sharifa katika Msikiti wa Mtume (Al-Masjid an-Nabawi) huko Madina yamebadilishwa kwa ajili ya maandalizi ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478460    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/06

Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Zaidi ya milo ya Iftar (futari) milioni 8.5 itagawiwa kwa waumini katika Msikiti wa Mtume SAW, Al Masjid An Nabawi huko Madina wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478338    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/11

Umrah
IQNA - Wizara ya Hija na Umrah ya Saudi Arabia imetangaza kuwa kila mwenye kushiriki katika ibada ya Hija ndogo ya Umra anaruhusiwa kutembelea Al-Rawdah Al-Sharifa katika mji mtakatifu wa Madina mara moja tu kwa mwaka.
Habari ID: 3478085    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/24

Umrah 1445
MEDINA (IQNA) - Msikiti wa Mtume (SAW), Al Masjid An Nabawi, eneo la pili kwa utakatifu katika Uislamu, ulishuhudia wimbi kubwa la waumini wiki iliyopita, shirika la serikali liliripoti.
Habari ID: 3477902    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/17

Al-Masjid an-Nabawi
MADINA (IQNA) - Zaidi ya mahujaji milioni nne wametembelea Msikiti wa Mtume SAW ambao ni maarufu kama Al-Masjid an-Nabawi huko Madina katika wiki moja, mamlaka ya Saudi inasema.
Habari ID: 3477242    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/05

Al-Masjid an-Nabawī
TEHRAN (IQNA) – Msikiti wa Mtume (Al-Masjid an-Nabawī ) huko Madina, ni mojawapo ya maeneo takatifu zaidi katika Uislamu, na umetembelewa na waumini zaidi ya milioni 200 tangu mwanzo wa mwaka huu wa Kiislamu. Hayo yamedokezwa na Urais Mkuu wa Masuala ya Misikiti Miwili Mitakatifu. .
Habari ID: 3477072    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/30

Habari za Madina
TEHRAN (IQNA) - Zaidi ya chupa milioni 2.2 za maji ya Zamzam ziligawiwa waumini waliofika katika Msikiti wa Mtume (Al-Masjid an-Nabawi) huko Madina katika robo ya kwanza ya mwaka huu wa Hijri.
Habari ID: 3476144    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/25

Ibadah ya Umrah
TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa takwimu, zaidi ya Waislamu milioni tatu wameswali katika Rawdah Tukufu kwenye Msikiti wa Mtume (SAW), Al-Masjid an-Nabawi , mjini Madina katika miezi mitatu ya mwanzo ya mwaka huu wa 1444 Hijria Qamaria.
Habari ID: 3476067    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/10

TEHRAN (IQNA)-Chuo Kikuu cha Taibah nchini Saudi Arabia kimefanikiwa kutumia teknolojia ya nano kuimarisha mfumo wa vipaza sauti katika Al-Masjid an-Nabawi (Msikiti wa Mtume SAW) mjini humo.
Habari ID: 3471249    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/05